Thursday, November 19, 2015

NDUGU AUA MDOGO WAKE BAADA YA KUMKUTA AKIJAMIAANA NA NGURUWE


Mtoto wa miaka 16 mkazi wa kijiji cha Mbwila wilayani Ludewa mkoani Njombe Simon Dastani amefariki dinia baada ya kupigwa kwa fimbo na kaka yake baada ya kukutwa akifanya mapenzi na Nguruwe mali ya mkazi wa kijiji hicho. kamanda wa polisi mkoa wa Njombe Wilbroad Mtafungwa alisema kuwa kijana huyo aliuwawa baada ya kaka yake kusikia kijana huyo ameizalilisha Familia yao kwa kufanya mapenzi na mnyama na kuanza kumchapa fimbo kitu kilicho sababisha kutoka damu nyingi na kupelekea kifo chake.



source EATV

No comments:

BREAKING NEWS; MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2018 HAPA

 BFYA LINK HAPA CHINI KUYAPATA>>>>> http://41.59.85.98/results/2018/acsee/acseex.htm

Logo

Logo Design by FlamingText.com