Saturday, March 11, 2017

NAFASI ZA KAZI KWA WALIMU WA SAYANSI NA HISABATI WALIOHITIMU MWAKA 2014/2015 KURUDI NYUMA.



Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inawatangazia wahitimu wote wa Stashahada na Shahada ya Ualimu katika masomo ya Sayansi na Hisabati wa mwaka 2014/ 15 na miaka ya nyuma, kuwa bado kuna nafasi za ajira, hivyo, wenye sifa watume maombi yao.
Wahitimu walioomba wakati Wizara ilipotangaza nafasi za ajira mwezi Desemba, 2016 na Januari, 2017 wasiombe tena kwa kuwa mchakato wa ajira kwa wale wenye sifa unaendelea. Wahitimu walioajiriwa Serikalini wasiombe.
Nyaraka zinazotakiwa kuwasilishwa ni hizi zifuatazo:-
  • Elimu ya sekondari (Kidato cha Nne na Sita);
  • Taaluma ya Ualimu (Stashahada, Shahada au Stashahada ya Uzamili katika Elimu -PGDE);
  • ‘Academic Trascript’ ya Stashahada, Shahada au Stashahada ya Uzamili katika Elimu-PGDE);
  • Cheti cha Kuzaliwa;
  • Wasifu (CV) unaoonesha majina matatu. Mwombaji ambaye vyeti vyake vya Elimu na Taaluma havina jina la tatu, akamilishe taratibu za kisheria za kuongeza jina la tatu na kuwasilisha kiapo stahiki pamoja na maombi yake.
UTARATIBU WA KUTUMA VYETI NI KAMA IFUATAVYO:-
  1. Mwombaji anatakiwa ‘ku-scan’ vyeti/nyaraka halisi – (Kidato cha 4, 6, Stashahada, Stashahada ya Uzamili na Shahada) na siyo kivuli (photocopy) na kuhifadhi katika ‘File’ moja la ‘pdf’. File lipewe majina matatu ya mwombaji kuanzia la kwanza, kati na la mwisho ndipo litumwe.
  2. Mwombaji atumie anuani ya barua pepe yake mwenyewe na siyo ya mtu mwingine kutuma nyaraka zake.
TANBIHI:
  1. Tarehe ya mwisho kupokea nyaraka ni 30 Machi, 2017.
  2. Barua pepe za kuwasilisha nyaraka za waombaji zitumwe mara moja tu na si kwa kurudia rudia ili kuepuka usumbufu.
  3. Yeyote ambaye vyeti vyake havitahakikiwa hatafikiriwa katika ajira.
  4. Wahitimu ambao waliomba awali mwezi Desemba, 2016 na Januari, 2017 na nyaraka zao ziliwasilishwa kikamilifu na kupokelewa, majina yao yamewekwa kwenye tovuti ya Wizara www.moe.go.tz. Hao wasiwasilishe nyaraka hizo tena.
  5. Tangazo hili haliwahusu wahitimu waliofaulu mtihani mwaka wa masomo 2015/16 baada ya kurudia masomo waliyoshindwa mwaka 2014/15.
  6. Nyaraka zote ziwasilishwe kwa barua pepe ifuatayo: apa@moe.go.tz
IMETOLEWA NA
Tarish M.K.
KATIBU MKUU
10/03/2017
 

Orodha ya Walimu wa Sayansi na Hisabati Wahitimu ngazi ya shahada 2015>>> Link Hapo Chini

Causes of Premature Ejaculation

The exact cause of premature ejaculation isn't known. While it was once thought to be only psychological, doctors now know premature ejaculation is more complicated and involves a complex 
interaction of psychological and biological factors.

Psychological causes
Some doctors believe that early sexual experiences may establish a pattern that can be difficult to change later in life, such as:
• Situations in which you may have hurried to reach climax in
order to avoid being discovered
• Guilty feelings that increase your tendency to rush through sexual encounters
Other factors that can play a role in causing premature ejaculation include:
• Erectile dysfunction. Men who are anxious about obtaining or maintaining an erection during sexual intercourse may form a pattern of rushing to ejaculate, which can be difficult to change.
• Anxiety. Many men with premature ejaculation also have problems with anxiety — either specifically about sexual performance or related to other issues.
• Relationship problems. If you have had satisfying sexual relationships with other partners in which premature ejaculation happened infrequently or not at all, it's possible that interpersonal issues between you and your current partner are contributing to the problem.
Biological causes
A number of biological factors may contribute to premature ejaculation, including:
• Abnormal hormone levels
• Abnormal levels of brain chemicals called neurotransmitters
• Abnormal reflex activity of the ejaculatory system
• Certain thyroid problems
• Inflammation and infection of the prostate or urethra
• Inherited traits
• Nerve damage from surgery or trauma (rare)

BREAKING NEWS; MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2018 HAPA

 BFYA LINK HAPA CHINI KUYAPATA>>>>> http://41.59.85.98/results/2018/acsee/acseex.htm

Logo

Logo Design by FlamingText.com