Thursday, May 7, 2015

Raia wa Burundi waomba hifadhi Tanzania


Zaidi ya raia elfu 20 kutoka mkoa wa makamba na Ruminge nchini Burundi wapo katika eneo la Kagunga mkoani Kigoma magharibi mwa Tanzania wakitaka kuvuka ziwa Tanganyika na kuingia nchini Tanzania kwaajili ya kuomba hifadhi.
Shirika la kuhudumia wakimbizi ulimwenguni UNHCR Tayari limekodi meli kongwe ya mv Liemba kuwasafirisha raia hao kwenda katika makambi ya wakimbizi ya mkoani Kigoma.
Mwandishi wa BBC Leonard Mubali amesafiri na Meli hiyo hadi katika eneo hilo na kutuandalia taarifa ifuatayo.

No comments:

BREAKING NEWS; MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2018 HAPA

 BFYA LINK HAPA CHINI KUYAPATA>>>>> http://41.59.85.98/results/2018/acsee/acseex.htm

Logo

Logo Design by FlamingText.com