Thursday, March 24, 2016

TANGAZO======TANGAZO=====TANGAZO====TANGAZO=======TANGAZO

TANGAZO: KOZI MAALUM ZA KUSOMA STASHAHADA (TEKU).

TANGAZO

KOZI MAALUM YA KUPATA SIFA YA KUSOMA STASHAHADA (DIPLOMA) YA UALIMU WA SHULE ZA MSINGI KWA MWAKA WA MASOMO 2017/2018.
Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Elimu Anuai (DOCE) anatangaza nafasi za Masomo kwa ajili ya wanaotafuta sifa za kujiunga na Ualimu WA Shule za Msinga (NTA Level 4) kwa mwaka 2017/2018.

SIFA ZA MWOMBAJI:
Awe na ufaulu wenye alama zisizopungua "D" nne katika mtihani wa kidato nne.

KOZI ZA MAANDALIZI:
Mwombaji atachagua kusoma Cheti cha (Library and infoarmation Science) au (Information Technology) kwa mwaka mmoja. Akifaulu vizuri na kupata Cheti cha Ngazi ya Nne (NTA Level4) atakuwa amepata sifa stahiki za kudahiliwa na NACTE kujiunga na Diploma ya Ualimu wa Shule za Msingi (Ordinary Diploma in Primary Education).

MUDA WA KUANZA MASOMO:
Masomo yataanza tarehe 1 Aprili, 2016.

ADA KWA MWAKA:
Ada ya masomo kwa mwaka ni Tsh.700,000/= ambazo zitalipwa kwa awamu NNE(4).

NJIA ZA UOMBAJI:
1. Fomu za maombi zinapatikana chuoni TEKU      kwenye Idara ya kurugenzi ya Elimu Anuai
   au anaweza kuingia kwenye Tovuti ya   Chuo
   www.teku.ac.tz.
   S.L.P.1104-MBEYA.

2. Kwa maelezo zaidi wasiliana kwa namba:- +255756501077 au +255767090188/+255764600241

3. Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 25 Machi, 2016.
TANGAZO LIMETOLEWA NA MKURUGENZI WA KURUGENZI YA ELIMU ANUAI.
                        KARIBU CHUO KIKUU TEOFILO KISANJI KWA UALIMU BORA
                               ========================================
An Institution of the Moravian Church in Tanzania-P.o.Box 747.Mbeya. Tel +255 25 2503626
MASOMO MEMA
 
SOURCE : MZALENDO PLUS

No comments:

BREAKING NEWS; MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2018 HAPA

 BFYA LINK HAPA CHINI KUYAPATA>>>>> http://41.59.85.98/results/2018/acsee/acseex.htm

Logo

Logo Design by FlamingText.com