Monday, February 22, 2016

Salamu zenu wadada wenye tabia hii

;
~Yaanike matiti yako kwenye mitandao wee,
yabane vizuri na vaa vinguo vya ajabu ili
yaonekane...
~Jaa kiburi wanavyokusifia wanaume wazinzi
kuwa wewe ni mzuri na umependeza...
~Vaa visiketi vyako vya kubana na kuacha
vimapaja vyako nje wanaume wasio na huruma
wakusifie kisha wakulaghai na kuzini na wewe...
~Zitoe mimba hizo wanazokupa endelea na huo
mchezo mpaka pale utakapoona kuua sio maagizo
ya Mungu na wakati huo umeshaua kizazi.
~Fanya vituko vyote mtaani na kwenye mitandao
ya kijamii si bado unalipa?! Kila picha inatoka
vizuri ukiipiga.
Ikifika muda wa kuolewa na wale waliokuwa
wanakuambia wewe ni mrembo baada ya
kuwaanikia matiti yako na mapaja yako hadharani
alafu hawakutaki tena Usianze kumlaumu Mungu
na kuwaambia watu wewe unamikosi na umelogwa
Na nyie wakaka mnaowakwa na maroho ya uzinzi
ndani yenu tembeeni wee na kila mdada
mnayemwona barabarani na mitandaoni maana
guest zipo nyingi tu na hayo mageto ya kupanga
yapo si wazazi wenu hawaoni mnafikiri na Mungu
hawaoni ila ikifika Muda wakuoa n mkao wa vimeo
msianze kukatisha watu tamaa, eti hakuna
mwanamke aliyetulia wa kuoa wote ni walewale
wakati wewe mwenyeweni afadhali ya walewale, kila
mdada ukimwona unatamani uujue utupu wake.
Cha kufanya; Mrudie Mungu sasa sio usubiri
yakufike shingoni na
shetani akutupe nje ya zizi ndio uanze kutafuta
kila mtumishi akuombee wakati unaharisha tumbo
lisiloisha.

 

No comments:

BREAKING NEWS; MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2018 HAPA

 BFYA LINK HAPA CHINI KUYAPATA>>>>> http://41.59.85.98/results/2018/acsee/acseex.htm

Logo

Logo Design by FlamingText.com