Sunday, April 19, 2015

Zitto Kabwe Akanusha tuhuma.............

Kiongozi wa taifa wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe amekanusha vikali tuhuma za gazeti la taifa imara zilizodai kuhusika kwa mwenyekiti wa IPP Dr. Reginald Mengi katika sakata la ESCROW wakati mjadala ukiendela bungeni hadi kuhitimishwa .
Akihutubia wakazi wa mkoa wa shinyanga zito amesema hizo ni mbinu chafu za kutaka kumgombanisha na dr. Mengi, kupoteza muda na kuchafua watu.

No comments:

BREAKING NEWS; MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2018 HAPA

 BFYA LINK HAPA CHINI KUYAPATA>>>>> http://41.59.85.98/results/2018/acsee/acseex.htm

Logo

Logo Design by FlamingText.com